Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

 


Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo

JAMAA : Nipe soda moja na kila mtu mpe yake maana ninapokunywa soda napenda kila mtu anywe

WATU : Ha! Ha! Ha! Haaaa!

JAMAA : Nipe mchemsho na kila mtu mpe wa kwake maana ninapokula mchemsho napenda kila mtu ale wake

WATU: Watu weweeee! Tena safari hii Na makofi juu..

JAMAA : Mhudumu, nipe bili na kila mtu mpe yake maana ninapolipa bili napenda kuona kila mtu analipa yake


Comments

Popular posts from this blog

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani