Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba



Dogo: mama hivi malaika si wanapaa?

Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo?
Dogo: nimesikia baba jana anamuita dada (housegir) malaika wangu, kwa hiyo nae atapaa?
Mama: ndiyo atapaa kuelekea kijijini kwao kesho, pumbavu zake.

Comments