Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita



 Mwalimu aliuliza swali


“Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA?


Mwanafunzi mmoja akajibu:-

“Kwa sababu CONDOM ni bei rahis kuliko BUNDUKI.


Wanafunzi wote: Ndiooooo…!!

Comments